Saturday, October 10, 2009

Wakati wa Ujana wangu



UJANA mali waswahili wanasema. Wakati wa ujana wangu nilikuwa na nguvu na kufanya mambo mengi. Muda mwingi niliutumia kujipatia elimu ndani na nje ya nchi. Wakati mwingine nilikuwa najirusha kwa sana tu hasa DISCO ah nilipenda sana mziki. Nakumbuka miaka ya themanini mimi na ndugu yangu Lawrence Mkude (Sasa Afisa Utumishi Bandari) Silversands kila w-end. Namkumbuka sana DJ. John Peter Pantalakis na HOLLIDAY!

No comments: