Friday, October 2, 2009

Nampigia debe mrembo wa Moro 2009


Yehu! Kinyang'anyiro cha Miss Tanzania ni leo katika Ukumbi wa Mlimani City -Dar es Salaam. Mshindi ataibuka na gari aina ya Suzuki Vitara pamoja na fedha taslimu 9m/=. Banzi wa Moro anampigia chapuo mrembo wa Moro Bi Tory Oscar. Tuvute subira macho yetu wote luningani. TBC Live mwanawane!

No comments: