Saturday, October 10, 2009

Hakika Makamu wa Rais ni mfano wa kuigwa


Hivi karibuni nimekuwa nikifuatilia habari za Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Ali Mohamed Shein kwa karibu sana. Katika safari zake karibu zote iwe za kikazi au binafsi ndani na nje ya nchi yeye huambatana na mkewe Mama Mwanamwema Shein. Tarehe 8/10/2009 alifika katika kituo cha Shule ya Msingi Oysterbay, Dar Es Salaam kwa kusudi la kujiandikisha katika Daftari la wapiga kura, hebu check kushoto kwake ameambatana na nani? (Pichani kwa hisani ya gazeti la Majira).

No comments: