Friday, October 2, 2009

MORO - Neema ya vyakula


Mkoa wa Morogoro ni mmoja ya mikoa iliyobarikiwa kuwa na mazingira mazuri kwa kuzalisha mazao mbalimbali ya chakula. Hivi karibuni Makamu wa Rais Mh. Dkt.Ali Shein alitembelea kijiji cha Lupilo, Mahenge mkoani Morogoro. Angalia karanga, viazi mviringo, vitungu saumu na maji pamoja na nyanya vilivyojaa sokoni bwelele!

No comments: