Friday, October 2, 2009

Wawaaa Mama Beatrice Gembe!




Inapotokea shughuli na mwana mama akiwa mmojawapo kati ya wahusika wa shughuli hiyo basi ujue akina mama wenzie watamtunza tu. Ndivyo ilivyotokea kwenye hafla ya tarehe 3/7/2009 kina mama wafanyakazi wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika walimzawadiwa mstaafu Mama Beatrice Gembe (aliyekumbatiwa na kutabasamu) aliyekuwa PS wa Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti na Maendeleo zawadi mbalimbali. Hebu angalia chereko chereko. Inapendeza enh!

No comments: