Tuesday, October 13, 2009

Hana uhakika wa soko


Mwangalie msichana huyu anatembeza mboga kwa wateja. Tatizo ni moja je atauza? Upatikanaji wa soko la uhakika kwa mazao ya kilimo ni tatizo linalorudisha nyuma maendeleo ya kilimo barani Afrika na kusababisha wakulima wasipokee kwa urahisi teknolojia bora za uzalishaji.

No comments: