Tuesday, April 1, 2014

Banda la Serikali-Matombo

Kwenye mti huu ndipo lilipojengwa banda la serikali Kswira, Matombo enzi za wakoloni. Nimeelezwa kuwa hapa mashauri yalikuwa yakifanyika karibu kabisa na nyumba ya Akida Martin. Hapa wazee wetu walichapwa viboko kama adhabu kutokana na makosa waliyohukumiwa. Historia hii inabidi kuandikwa na kuhifadhiwa.

No comments: