Tuesday, April 22, 2014

Wananchi wakipita juu ya daraja la mto Mzinga

Mvua zinazonyesha jijini Dar Es Salaam, zimeathiri miundombinu ya barabara nyingi likiwemo daraja la mto Mzinga baada ya sehemu kuchimbika na hivyo kusababisha magari kushindwa kupita. Pichani wananchi wakipita juu ya daraja hilo baada ya TANROADS kurekebisha sehemu zilizochimbika.

No comments: