Tuesday, April 1, 2014

Tayari kupigwa picha

Nilipokuwa naelekea kanisani  Matombo nilimkuta kijana huyu karibu kabisa na nyumba ya marehemu Christian Mchuma wa Kiswira. Huyu alikuwa tayari kupigwa picha. Kweli ameweka kumbukumbu yake.

No comments: