Tuesday, April 1, 2014

Mzee Mchope wa Kiswira-Matombo

Nilipokwenda kijijini kwangu  Kiswira Matombo, Morogoro, nilkutana na Mzee 'Mchope' huyu ni mwanajeshi mstaafu anayefanya shughuli zake za kilimo na biashara pia ni fundi rangi. Tukiwa kwenye mazungumzo alinieleza na kunikumbusha mambo mengi. Kama asili ya baadhi ya wazee wa zamani wa Kijiji chetu na jinsi kijiji kilivyokuwa hapo zamani. Kumbukumbu aliyonayo ni vizuri kuhifadhiwa.

No comments: