Friday, April 4, 2014

Ndege mpya ya ATCL yaongeza ufanisi

Ndege mpya ya kukodi ya Shirka la Ndege la Taifa (ATCL) aina CRJ-200 yenye uwezo wa kubeba abiria 50  imeweza kuongeza uwezo wa Shirika wa kusafirisha abiria kwa asilimia 57 hayo yameelezwa na Kaimu Mtendaji Mkuu wa Shirika hilo Captain Milton Lazaro. Aidha Lazaro ametangaza 'offer' maalumu wakati wa Pasaka kwa abiria watakaosafiri  kwa anga kwa shirka lake  Dar-Mtwara-Dar kuwa  itakuwa ni Tshs 250,000/=. (Picha kwa hisani ya gazeti la DailyNews 4/4/2014 - Tafsiri ya Kiswahili ya habari -Banzi wa Moro)

No comments: