Tuesday, April 1, 2014

Matombo Secondary School

Haya ndiyo mandhari ya Shule ya Sekondari  Matombo iliyoko mkoa wa Morogoro. Zamani ilikuwa Middle School chini ya Kanisa Katoliki Parokia ya Matombo. Hapa ndipo nilipopata elimu yangu ya msingi. Katika shule hii niliwahi kuwa 'Time keeper' a.k.a mgonga kengele. Katika shule hii pia  niliwahi kucharazwa  viboko kwa kosa la kumtolea machukizo msichana mmoja aliyekuwa amevaa viatu vilivyochongoka huku mimi na kundi letu tukimzonga na kumwita Badoura! Naipenda Matombo!

No comments: