Friday, September 26, 2014

Kipi kinauma zaidi kati ya hivi??



1. Kusoma miaka 7 chuo na kukaa nyumbani miaka 10 bila kupata kazi....
2. Kulea mtoto kwa miaka 20 halafu unakuja kuambiwa sio wako...
3. Kuibiwa mshahara wako wote baada ya kutoka kwenye ATM

No comments: