Tuesday, September 30, 2014

Siku ya Somo wa Parokia ya Vikindu - St.Vincent de Paulo












Parokia ya Vikindu Jimbo Kuu la Dar Es Salaam, tarehe 28/09/2014 iliadhimisha sikukuu wa somo- Mt. Vinsenti wa Paulo. Sikukuu ilianza kwa misa takatifu iliyoongozwa na Paroko Fr. Stephen na kisha kwenye burudani ambako waumni kutoka Vigango tisa vya Parokia walishirki na kula pamoja.

No comments: