Tuesday, September 30, 2014

Utoto Mtakatifu-Wanajengwa Kiimani






Watoto wa Utatu Mtakatifu wakiwatumbuiza wageni waalikwa siku ya kuadhimisha sikukuu ya Mt. Vinsenti wa Paulo somo wa Parokia. Watoto hawa ni nguzo ya Kanisa. Bila watoto hakuna kanisa endelevu.

No comments: