Tuesday, February 17, 2009

KILWA ROAD UPDATE 5!

Imebaki sehemu ndogo tu ya barabara ili wanambagala na vitongoji vyake wateleze!. Sehemu hiyo ni kutoka KTM hadi Mtoni Mtongani. Vingenevyo usafiri wa kwenda Mbagala umeanza kuimarika.

No comments: