Thursday, February 26, 2009

Matrekta pekee hayatoshi kuinua kilimo

Uzalishaji katika kilimo ni matokeo (function) ya mambo mengi ikiwa ni pamoja na teknolojia bora za kilimo, hali ya hewa, rutuba,mbegu bora na elimu ya kilimo kwa wakulima wetu. Pia makongamano, semina, mikutano pia vinahitajika katika kuinua kilimo chetu pamoja na hayo matrekta. Kilimo si matrekta si umwagiliaji si mbolea ...... pekee

No comments: