Thursday, February 26, 2009

UMEBOBEA KWENYE NINI?

Hebu fikiri mtu anakuuliza hivi mwenzangu ni kitu gani wewe unakifahamu, hakikupatii shida, ni rahisi kukitekeleza bila matatizo. Utasemaje? Tujiulize tumebobea kwenye nini?

No comments: