Thursday, February 26, 2009

Sasa wamekuja na panda fedha uvune fedha

Hapa jijini tayari kuna heka heka ya panda fedha! Eti ukipanda milioni moja utavuna milioni moja. Na bila kuongeza fedha kila wakati utakuwa unavuna milioni moja! Wizi mtupu. Watanzania tufanye kazi tusitegemee fedha za bure. Hapo ni mahesabu yanapigwa. Lakini watu hawasikii wanamiminika kama nini wanataka kupanda fedha na kuvuna fedha. Wizi mtupu.

No comments: