Monday, February 2, 2009

Tshs 440,000/= faida ya karanga kwa Hekta

Wakulima wanapaswa kufahamu mapato yanayopatikana katika uzalishaji wa mazao mbalimbali. Katika tafiti zao watafiti wa kituo cha Utafiti Naliendele-Mtwara wanasema kuwa, ukitoa gharama zote za uzalishaji wa karanga kwa hekta na kwa kutumia bei za mwaka 2007/08. Mkulima ana uhakika wa kupata faida ya Tshs 440,000/= kwa hekta.

No comments: