Wednesday, June 22, 2011

ASA-Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Tayari Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) wameshaandaa. Mkataba wa Huduma kwa Mteja. Ndani ya Mkataba imewekwa bayana huduma zitolewazo na Wakala hii na jinsi huduma anavyopaswa kuhudumiwa. Lengo ni kutoa huduma za mbegu zenye ubora wa hali ya juu ili kuweza kuongeza tija katika kilimo.

No comments: