Wednesday, June 22, 2011

Dakawa-Kituo cha usambazaji wa Teknolojia


Kituo kipya cha usambazaji wa teknolojia za kilimo kimejengwa Dakawa-Morogoro kwa msaada wa Serikali ya China kimefunguliwa mwaka huu na Rais wa awamu ya nne Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete

No comments: