Friday, June 17, 2011

Kise Kids wanasubiri zawadi

'Kise Kids Soccer Club' ni Klabu ya soka ya vijana iliyopo kijijini Kisemvule,Vikindu,wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.Mapema mwaka huu iliweza kushika nafasi ya tatu kwenye mashindano yaliyoandaliwa na kijiji cha Kisemvule.Pichani wachezaji na washabiki wakisubiri zawadi ya mshindi wa tatu (walipata mpira mmoja).

No comments: