Wednesday, June 22, 2011

KATRIN kujengewa uwezo


Kituo cha Utafiti - KATRIN kilichopo Ifakara mkoani Morogoro kinatazamiwa kuwa Kituo Mahiri cha Utafiti wa Mpunga (RRCoE)katika Afrika Mashariki na Kati chini ya Programu ya Kuendeleza Tija katika kilimo Afrika (EAAPP).Picha ya juu Mratibu wa Mradi wa Kituo Mahiri Bw. Nkori Kibanda akitoa maelezo ya jinsi mradi huo unavyotekelezwa na mahitaji ya kujengewa uwezo hasa kwa watumishi ili waweze kufanya kazi zao kwa ufasaha na hatimaye kufanikisha lengo.

No comments: