Friday, June 17, 2011

Tunasali na kutafakari

Ndivyo tufanyavyo Jumuiya ya Mt.Joseph- Parokia ya Vikindu.Kila Jumamosi jioni tunakutana kwenye nyumba ya mwana jumuiya mmoja tunasali na kutafakari neno la Mungu kwa pamoja. Jumuiya zinatuweka karibu zaidi.Tunajifunza mengi na kusaidiana.

No comments: