Friday, June 3, 2011

Watafiti wanasubiri kwenda Kilwa vijijini


Kushoto n mtafiti wa mbegu za mafuta Bi. Joan Kasuga na kulia ni Mratibu wa Utafiti wa Korosho nchini Tanzania, Dkt Peter Massawe wakisubiri kwenda vijijini Kilwa kukagua shughuli za utafiti.

No comments: