Monday, June 6, 2011

Hili ndilo daraja la Mkapa

Daraja hili ni refu sana na huwezi kulinganisha na daraja la mto Mfizigo lilipo Matombo, Morogoro vijijini.Ni kazi nzuri ya Rais wa awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa.Ndivyo anavyothibitisha Mtafiti wa Kilimo Bw. Laurent Kadeng'uka alipotembelea mikoa ya Mtwara na Lindi hivi karibuni.

No comments: