Friday, June 3, 2011

Hii siyo gari yetu.



Mbona haina namba! Anashangaa Omary Shomari dereva wa gari STH 5470 (Haisomeki)Toyota Double Cabin. Hii ni baada ya kumaliza kilometa 60 za Somanga Ndundu tukitokea Mtwara tarehe 1/6/2011. Kipande hicho cha barabara ni kichafu kweli kweli

No comments: