Friday, June 3, 2011

Mapadri walitoa Baraka



Tarehe 2/5/2011 waumini walifurika katika Kanisa la Maxmillian Kolbe kushudia upadrisho wa Mapdre wa tano uliotolewa na Mhashamu Kardinali Polycarp Pengo. Mapdri walitoa baraka kwa waumini

No comments: