Friday, June 3, 2011

Taxi za Kilwa babu kubwa



Ukiambiwa kwenda kufanya kazi Kilwa Masoko utafikiri kama umepewa adhabu. Huo ni mtazamo wa zamani. Mwisho wa mwezi huu nilikuwa Kilwa Masoko kikazi. Kilwa mambo ni kama hivi:-

-hakuna kukatika umeme (umeme wa songas)
-magari aina ya Noah niyo Taxi zao (Kilwa- Nangurukuru)
-Samaki ndo usiseme (wa kukaanga,supu au wa kuungwa)
-wali kwa nazi
-kuku wa kienyeji!
-Guest bei poa na ni self contained
-beach safi
-Ulabu kama Dar tu

No comments: