Friday, June 17, 2011

Daraja la Umoja - Msumbiji naTanzania

Hili ni daraja la kujivunia kati ya nchi mbili maskini za dunia ya tatu- Tanzania na Msumbiji.Limejengwa kwa fedha zetu wenyewe kwa kutumia wa wataalamu kutoka China.Pichani Omary Shomari akiwa kwenye daraja hilo alipotembelea kijiji cha Mtambaswala mpakani mwa Tanzania na Msumbiji,wilayani Nanyumbu.

No comments: