Wednesday, June 22, 2011

SARO- Nyumbani kwake Cholima-Dakawa


Moja ya vituo vya Utafiti wa Kilimo kilichopo wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro. Kituo hiki kilizinduliwa mwaka 1985 na Rais wa awamu ya Kwanza Mhe. Julius K.Nyerere. Kimejengwa kwa ushirikiano na wa Jamhuri ya Korea Kaskazini. Shughuli zake kuu ni utafiti wa mpunga. Aina ya mbegu ya mpunga SARO nyumbani kwake ni hapa.

No comments: