Saturday, June 4, 2011

Nimepata mchumba Msumbiji


Tuliweza kuwasiliana vizuri tu kwa lugha ya Kiswahili. Mambo, poa. Ah kumbe ni ni Mmakua tu wa Msumbiji wapo mpakani mwa Msumbiji na Tanzania. Kijiji cha kwanza baada ya kuvuka daraja la Umoja.

No comments: