Wednesday, June 22, 2011

Trekta letu

Sijatembelea maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea hapa jijini katika viwanja vya Mnazi Mmoja. Lakini kitu kilichonivutia ni kusoma ndani ya blog ya Mjengwa kuwa kuna trekta lililobuniwa na Mtanzania ambalo lina uwezo wa kulima ekari 5 kwa siku. Linaweza kusaga nafaka na pia kutoa nishati ya umeme. Haya ni maendeleo makubwa katika nyanza ya sayansi na Teknolojia. Trekta hili lilibuniwa na CARMATEC-Arusha mwaka 2008 na Dr. Patric Jonathan

No comments: