Friday, June 3, 2011

Mwache mkulima ajieleze


Utafiti shambani kwa wakulima. Huko Mtama, Lindi kikundi cha wakulima kinafanya utafiti wa zao la embe. Pichani mkulima mwanamama akijieleza.Tulimsikiliza na kumuuliza maswali na alitujibu barabara. Kijiji hiki kimo ndani ya jimbo la Mh. Bernard Membe, Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

No comments: