Thursday, November 22, 2012

Akina dada rukhsa

Akina dada wanaruhusiwa kuwa kwenye timu ya majadiliano wakati wa kutoa mahari. Pichani kutoka kushoto Eddy Daulinge na Suzy Banzi wakifuatilia kwa makini shughuli ya utoaji mahari kwa kaka yao Macarios Banzi huko Gongolamboto tarehe 11/11/2012

No comments: