Thursday, November 22, 2012

Vimbwanga vya kwenye mahari

Kwenye kutoa mahari kulikuwa na vituko vya aina yake lakini hivi vyote vilifanywa kwa nia nzuri tu ya kusherehesha shughuli. Dada wa Macarios (Helmina Mwenda na Eddy Daulinge)walijitokeza na kumuonyesha Martina kuwa wao ndiyo wanawake zake Macarios na hawana habari yoyote ya kuchumbuiwa kwake.Fuatilia picha hizi kwa makini upate uhondo.
'Mke mkubwa' Helmina Mwenda akimlalia 'mumewe' Macarios Banzi akionyesha yeye ndiye zaidi
Ilibidi shangazi P.Mloka na kaka Inno waokoe jahazi, la sivyo shughuli 'ingeharibika'!

No comments: