Thursday, November 22, 2012

Wanajiandaa kuwasilisha mahari

Shangazi P.Mloka na Mshenga Bw. L.Mkude wakijiandaa kuwasilisha mahari ya Bw. Macarios Banzi mapema mwezi Novemba 2012 huko Gongolamboto.
Mmoja wa negotiatiors tuliokuwa nao kwenye msafara huo ni Baba yetu Mangengesa Mdimi (mwenye T-shirt nyeupe)mmmoja wa wandishi wakongwe hapa nchini.

No comments: