Friday, November 23, 2012

Mzee Mdimi alifurahi

Ujumbe kwenda Gongolamboto kwa lengo lakutoa mahari ya Bw.Macarios Banzi ilikuwa chini ya ushauri wa Mzee Mangengesa Mdimi. Wakati wote wa shughuli yeye alifurahi sana kwani shughuli zilikwenda kama tulivyopanga.

No comments: