Thursday, February 7, 2013

Adha ya kuendesha gari jijini Dar

Hakuna kinachokera jijini Dar kama kuendesha gari kwenye msururu mrefu wa magari. Inachosha, inasababisha mafuta kutumika kwa wingi, inasababishwa kuchelewa sehemu uliyokusudia kwenda, wakati mwingine wezi hupata fursa ya kuiba ndani ya magari endapo ukijisahau.

No comments: