Thursday, February 7, 2013

Kuna mategemeo ya kula nazi

Iko siku nitakula nazi kutoka mnazi huu. Hivi sasa bei ya nazi jijini Dar haikamatiki, ni kati ya Tshs 600/= hadi Tshs 1000/= kwa nazi moja. Wali na maharagwe yaliyoungwa kwa nazi ni mtamu sana hasa kipolo chake ambacho ndugu zangu Waluguru wanakiita 'bandula!'

No comments: