Friday, February 1, 2013

Alipokuwa 'Form One'

Mwaka huu 2013 Catherine Banzi ameingia 'Form II' Pichani Cathy alipokuwa 'Form I' Kweli miaka inakwenda. Mwezi Januari umekuwa mchungu kwa wazazi wengi kwa ajili ya kulipia gharama za watoto wao wanaosoma. Hata hivyo tusisikitike sana kwani ni muhimu kuhakikisha kuwa watoto mtoto wako anapata elimu nzuri itakayomsaidia kumudu maisha yake.

No comments: