Wednesday, February 6, 2013

Nyumba za TAZARA

Hivi ndivyo Banzi wa Moro alivyozikuta nyumba za TAZARA pale Temeke Veterinary jijini Dar. Zimechoka ile mbaya. Hakuna kupaka rangi wala nini. Lakini enzi zake walipokuwa wanakaa Wachina zilikuwa babukubwa. Nasikia nyingi kama si zote zimeshauzwa kwa wafanyakazi wa TAZARA.

No comments: