Wednesday, February 13, 2013

Huenda akawa Baba Mtakatifu

Huenda Kadinali Peter Tukson (alisimama) kutoka Ghana akawa mwafrika wa kwanza kuwa Baba Mtakatifu kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani baada ya Baba Mtakatifu Benedict XVI kutangaza kujiuzulu jana.

No comments: