Thursday, February 14, 2013

Kanisa la Magomeni -Sura Mpya

Jengo la Kanisa Katoliki Parokia ya Magomeni, Jimbo Kuu la Dar Es Salaam linakarabatiwa upya. Kwa sasa paa lake limeezekwa katika mtindo wa kisasa kabisa. Ukarabati unaendelea. Familia yetu ina historia nzuri katika kanisa hili.Hapa ndipo nilipopata skaramenti yangu ya ndoa mwaka 1997.

No comments: