Thursday, February 7, 2013

Mbagala R3

Acha kabisa. Mbagala ya sasa siyo ile ya zamani. Ghorofa zimeanza kuchipuka na barabara iboreshwa, foleni za magari hutokea kwa nadra sana.Tunaweza kusema kuwa Mbagala Rangi 3 ni kichocheo cha maendeleo ya mikoa ya kusini.

No comments: