Thursday, February 7, 2013

Nimejaribu kupanda mboga za maboga

Hapa Kisemvule nimejaribu kupanda mboga za maboga ingawa si eneo kubwa kwa sababu mimi ni mpenzi sana wa mboga ya maboga iliyochangwa na bamia.Waswahili wanasema raha jipe mwenyewe!

No comments: