Tuesday, February 12, 2013

Hawa ni ndugu

Ali Mhanndo na Abdallah Mhando ni ndugu wanaoishi Arusha lakini ni Wazaramo. Ndugu hawa wamejaliwa kipaji cha kunyoa (Barbers) kwa sasa Bw. Abdallah anafanya kazi katika Barber shop moja ijulikanayo kwa jina la Big L jijini Arusha karibu kabisa na Hospitali ya KKT pale Selian.

No comments: