Monday, February 11, 2013

Wakulima wafuatwe shambani

Bi. Mary Ndomba (kulia) ni mtafiti wa kituo cha Utafiti wa Kilimo Tumbi, Tabora. Wakati wa mafunzo yake ya shahada ya uzamili katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA), Ndomba alifanya utafiti shambani mwa wakulima.

No comments: