Friday, February 1, 2013

Tunachambua mbaazi

Mbaazi mbichi ni mboga nzuri sana hasa ikipikwa na nazi na kisha ukala na wali ni utamu mpaka kisogoni. Lakini mbaazi zikikumaa halafu ukala na ugali wa mtama hapo shughuli ni pevu na kwakweli chakula hiki mimi sikipendi!

No comments: